Font Size
Warumi 15:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 15:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe bali alikuwa kama ilivyoandikwa: “Matusi yote waliyoku tukana wewe yalinipata mimi.” 4 Kwa maana mambo hayo yaliyoan dikwa zamani, yaliandikwa kutufundisha, ili tukiwa na subira na faraja tunayopata katika Maandiko tuwe na tumaini. 5 Na Mungu aliye chanzo cha subira na faraja awajalie ninyi moyo wa umoja miongoni mwenu mnapomfuata Kristo Yesu,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica