Font Size
Warumi 15:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 15:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Subira na kuhimiza kote hutoka kwa Mungu. Na ninawaombea ili Mungu awasaidie muwe na nia ile ile ninyi kwa ninyi, kama ilivyo nia ya Kristo Yesu. 6 Kisha ninyi nyote, kwa sauti moja, mtamtukuza Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. 7 Kristo aliwakaribisha ninyi, hivyo nanyi mkaribishane ninyi kwa ninyi. Hili litaleta heshima[a] kwa Mungu.
Read full chapterFootnotes
- 15:7 heshima Au “utukufu”. Tazama Utukufu katika Orodha ya Maneno.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International