Font Size
Warumi 15:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 15:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Kisha ninyi nyote, kwa sauti moja, mtamtukuza Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. 7 Kristo aliwakaribisha ninyi, hivyo nanyi mkaribishane ninyi kwa ninyi. Hili litaleta heshima[a] kwa Mungu. 8 Ndiyo, haya ndiyo maneno yangu kwenu kwamba Kristo alifanyika mtumishi wa Wayahudi ili kuonesha kuwa Mungu amefanya yale aliyowaahidi baba zao wakuu.
Read full chapterFootnotes
- 15:7 heshima Au “utukufu”. Tazama Utukufu katika Orodha ya Maneno.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International