Font Size
Warumi 15:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 15:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Kuhusu Umoja
7 Mpokeane ninyi kwa ninyi kama Kristo alivyowapokea, ili Mungu apate kutukuzwa. 8 Maana nawaambia kwamba, Kristo alikuwa mtumishi kwa Waisraeli ili kuonyesha kuwa Mungu ni mwaminifu,na kuthibitisha ahadi alizowapa baba zetu. 9 Na pia ili watu wa mataifa mengine wamtukuze Mungu kwa huruma yake. Kama yasemavyo Maandiko: “Kwa sababu hii nitakutukuza kati ya watu wa mataifa, nitaimba nyimbo za kulisifu jina lako.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica