Font Size
Warumi 3:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 3:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Watu Wote Wana Hatia
10 Kama Maandiko yanavyosema,
“Hakuna atendaye haki,
hakuna hata mmoja.
11 Hakuna hata mmoja anayeelewa,
hakuna anayetaka kumfuata Mungu.
12 Wote wamegeuka na kumwacha,
na hawana manufaa kwa yeyote.
Hakuna atendaye mema,
hakuna hata mmoja.”(A)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International