Font Size
Warumi 3:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 3:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Kwa nini tusiseme, kama wengine wanavyotusingizia kuwa tunasema, “Tutende maovu ili wema udhihirike”? Hakika hukumu wanayoipata ni ya haki.
Wote Wametenda Dhambi
9 Tusemeje basi? Sisi Wayahudi tunayo nafuu yo yote? Hata kidogo! Kama tulivyokwisha kusema, Wayahudi na Wagiriki, wote wanatawaliwa na nguvu ya dhambi. 10 Kama Maandiko yase mavyo:“Hakuna hata mmoja mwenye haki;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica