Font Size
Yakobo 1:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yakobo 1:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Kutoka kwa Yakobo mtumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo.
Kwa makabila Kumi na Mawili[a] ya watu wa Mungu yaliyotawanyika kote ulimwenguni: Salamu!
Imani na Hekima
2 Kaka na dada zangu, jueni kuwa mtakutana na adha za kila aina. Lakini hilo liwape ninyi sababu ya kuwa na furaha zaidi. 3 Kwa sababu mnajua kuwa imani yenu inapojaribiwa ndipo mnapojifunza kuwa wavumilivu.
Read full chapterFootnotes
- 1:1 Kumi na Mawili Maelezo ya watu wa Mungu walio wateule wake waliomo katika Agano la Kale. Yakobo anatumia jina hili kwa maana ya Wayahudi ama Wayahudi wanaoamini waliotawanyika kote katika dola ya Rumi.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International