Font Size
Yakobo 1:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 1:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Maana jua huchomoza na kwa mionzi yake mikali hukausha mimea, na maua yake huanguka na uzuri wake hupotea. Vivyo hivyo tajiri naye atafifia akiwa katika shughuli zake.
Kujaribiwa
12 Amebarikiwa mtu ambaye anavumilia majaribu, kwa sababu akisha stahimili atapewa taji ya uzima ambayo Mungu amewaahidi wale wampendao. 13 Mtu akijaribiwa asiseme, “Ninajaribiwa na Mungu,” kwa maana Mungu hajaribiwi na uovu na yeye hamjaribu mtu ye yote.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica