Font Size
Yakobo 1:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yakobo 1:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Majaribu Hayatoki kwa Mungu
12 Amebarikiwa mtu yule anayestahimili majaribu, maana anapofaulu mitihani atapokea taji yenye uzima ambayo Mungu amewaahidi wale wanaompenda. 13 Yeyote anayejaribiwa hapaswi kusema, “Jaribu hili linatoka kwa Mungu,” kwa sababu maovu hayamjaribu Mungu na hamjaribu mtu yeyote. 14 Bali kila mmoja anajaribiwa na tamaa zake mwenyewe, anapovutwa na kunaswa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International