Font Size
Yakobo 1:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yakobo 1:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
14 Bali kila mmoja anajaribiwa na tamaa zake mwenyewe, anapovutwa na kunaswa. 15 Kisha tamaa inapotunga mimba inazaa dhambi, na dhambi ikikomaa kabisa inazaa kifo.
16 Kaka zangu na dada zangu wapendwa msikubali kudanganywa,
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International