Font Size
Yakobo 1:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 1:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
15 Kisha tamaa hiyo ikisha chukua mimba, huzaa dhambi; na dhambi ikisha komaa, huzaa mauti.
16 Ndugu zangu wapendwa, msidanganywe. 17 Kila kipawa chema na kila zawadi kamilifu hutoka mbinguni, ikishuka kutoka kwa Baba wa nuru za mbinguni ambaye habadiliki kama kivuli.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica