Font Size
Yakobo 1:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 1:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Lakini aombe kwa imani pasipo shaka yo yote; maana mwenye mashaka ni kama wimbi la bahari ambalo husu kumwa na upepo, likitupwa huku na huku. 7 Mtu kama huyo asidhani atapata kitu cho chote kutoka kwa Bwana; 8 kwa maana yeye ni mtu mwenye nia mbili asiyekuwa na msimamo katika jambo lo lote.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica