Font Size
Yakobo 1:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yakobo 1:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Mtu wa jinsi hiyo asidhani kuwa anaweza kupokea cho chote kutoka kwa Bwana; 8 yeye ni mwenye mashaka na hufikiria mambo mawili tofauti kwa wakati mmoja.
Utajiri wa Kweli
9 Ndugu aliye maskini na awe na furaha sana kwamba Mungu amemchukulia kuwa mtu wa maana sana.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International