Font Size
Yakobo 1:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 1:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 kwa maana yeye ni mtu mwenye nia mbili asiyekuwa na msimamo katika jambo lo lote.
Umaskini Na Utajiri
9 Ndugu asiye na cheo afurahi kwa sababu Bwana amemtukuza; 10 na tajiri afurahi anaposhushwa kwa maana atatoweka kama ua la mwituni.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica