Font Size
Yakobo 1:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yakobo 1:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 yeye ni mwenye mashaka na hufikiria mambo mawili tofauti kwa wakati mmoja.
Utajiri wa Kweli
9 Ndugu aliye maskini na awe na furaha sana kwamba Mungu amemchukulia kuwa mtu wa maana sana. 10 Na waaminio walio matajiri wawe na furaha sana tu pale Mungu anapowashusha chini. Kwani utajiri wao hautawazuia kufa kama maua ya porini.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International