Font Size
Yakobo 2:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 2:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Tuseme mtu mmoja aliyevaa pete ya dhahabu na nguo maridadi anakuja katika mkutano wenu; kisha fukara mmoja mwenye nguo chafu na mbovu akaingia pia. 3 Ikiwa utamshughulikia zaidi yule mtu aliyevaa nguo maridadi ukamwambia, “Keti hapa kwenye kiti kizuri,” lakini yule fukara ukamwambia, “Wewe simama pale,” au “Keti sakafuni, miguuni pangu,” 4 je, hamtakuwa mmefanya ubaguzi mioyoni mwenu na kutoa hukumu itokanayo na mawazo maovu?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica