Font Size
Yakobo 2:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 2:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 je, hamtakuwa mmefanya ubaguzi mioyoni mwenu na kutoa hukumu itokanayo na mawazo maovu?
5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa: je, Mungu hakuwachagua wale walio fukara hapa duniani kuwa matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidi wale wampendao? 6 Lakini ninyi mmemvunjia heshima aliye fukara. Je, si matajiri ndio wanaowagandamiza na kuwapelekeni mahakamani?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica