Font Size
Yohana 10:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 Mwizi huja kwa nia ya kuiba, kuua na kuharibu. Nimekuja ili watu wapate uzima; uzima ulio kamili. 11 Mimi ni Mchungaji Mwema. Mchungaji Mwema hutoa maisha yake kwa ajili ya kondoo. 12 Mtu wa kuajiriwa anapoona mbwa mwitu akija, hukimbia na kuwaacha kondoo hatarini kwa kuwa kondoo si wake, naye si mchungaji wao; na hivyo mbwa mwitu huwar ukia kondoo na kuwatawanya.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica