Font Size
Yohana 10:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Mtu wa kuajiriwa anapoona mbwa mwitu akija, hukimbia na kuwaacha kondoo hatarini kwa kuwa kondoo si wake, naye si mchungaji wao; na hivyo mbwa mwitu huwar ukia kondoo na kuwatawanya. 13 Yeye hukimbia kwa sababu ameaji riwa tu na hawajali kondoo.
14 Mimi ni Mchungaji Mwema: ninawafahamu kondoo wangu nao wananifahamu,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica