Font Size
Yohana 10:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Hakuna mtu atakayeondoa uhai wangu, bali ninautoa mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa uhai wangu na pia ninao uwezo wa kuuchukua tena. Hii ni amri niliyopo kea kutoka kwa Baba yangu.”
19 Maneno haya yalisababisha mafarakano tena kati ya Way ahudi. 20 Wengi wao walisema, “Huyu amepagawa na shetani, kwa nini tuendelee kumsikiliza?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica