Font Size
Yohana 10:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
19 Maneno haya yalisababisha mafarakano tena kati ya Way ahudi. 20 Wengi wao walisema, “Huyu amepagawa na shetani, kwa nini tuendelee kumsikiliza?” 21 Wengine wakasema, “Haya si maneno ya mtu aliyepagawa na shetani. Je, shetani anaweza kumpo nya kipofu?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica