Font Size
Yohana 10:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Anayepitia mlangoni ndiye mchun gaji wa kondoo. 3 Mlinzi humfungulia mlango na kondoo hutambua sauti yake. Yeye huwaita kondoo wake kwa majina yao na kuwaongoza nje ya zizi. 4 Akiisha watoa wote nje, hutangulia mbele yao na kondoo humfuata kwa kuwa wanaifahamu sauti yake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica