Font Size
Yohana 10:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
25 Yesu akawajibu, “Nimewaambia lakini hamuamini. Mambo ninayoyatenda kwa jina la Baba yangu yan anishuhudia. 26 Lakini hamuamini kwa sababu ninyi si wa kundi la kondoo wangu. 27 Kondoo wangu husikia sauti yangu nami nawajua, nao hunifuata;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica