Font Size
Yohana 10:26-28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 10:26-28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
26 Lakini hamuamini, kwa sababu ninyi siyo kondoo wangu. 27 Kondoo wangu huisikia sauti yangu. Nami nawajua, nao hunifuata. 28 Mimi nawapa kondoo wangu uzima wa milele. Nao hawatakufa kamwe, na tena hakuna atakayemchukua yeyote kutoka mkononi mwangu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International