Font Size
Yohana 10:29-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 10:29-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
29 Baba yangu ndiye aliyenipa hao, naye ni mkuu kuliko wote.[a] Hakuna anayeweza kuwaiba kondoo wangu kutoka mkononi mwangu. 30 Mimi na Baba tu umoja.”
31 Kwa mara nyingine Wayahudi pale wakaokota mawe ili wamuue Yesu.
Read full chapterFootnotes
- 10:29 Baba yangu … kuliko wote Baadhi ya nakala za zamani za Kiyunani zina, “Kile ambacho Baba amenipa ni kikubwa kuliko vyote.” Kuna tafsiri nyingi katika makala za zamani za Kiyunani. Nakala zingine za baadaye zina “Baba yangu, ambaye amewapa kwangu mimi ni mkuu kuliko wote.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International