Font Size
Yohana 10:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Mlinzi humfungulia mlango na kondoo hutambua sauti yake. Yeye huwaita kondoo wake kwa majina yao na kuwaongoza nje ya zizi. 4 Akiisha watoa wote nje, hutangulia mbele yao na kondoo humfuata kwa kuwa wanaifahamu sauti yake. 5 Kondoo hawam fuati mtu wasiyemfahamu bali humkimbia, kwa sababu hawatambui sauti ya mgeni.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica