Font Size
Yohana 10:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
30 Mimi na Baba yangu tu mmoja.”
31 Kwa mara nyingine wale Wayahudi wakainua mawe ili wampige nayo. 32 Yesu akawauliza, “Nimewaonyesha mambo mengi mazuri kutoka kwa Baba yangu. Kati ya hayo ni lipi linalosababisha mtake kunipiga mawe?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica