Font Size
Yohana 10:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 10:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
30 Mimi na Baba tu umoja.”
31 Kwa mara nyingine Wayahudi pale wakaokota mawe ili wamuue Yesu. 32 Lakini Yeye akawaambia, “Mambo mengi mliyoyaona nikiyatenda yanatoka kwa Baba. Ni kwa mambo gani miongoni mwa hayo mazuri mnataka kuniua?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International