Font Size
Yohana 10:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Akiisha watoa wote nje, hutangulia mbele yao na kondoo humfuata kwa kuwa wanaifahamu sauti yake. 5 Kondoo hawam fuati mtu wasiyemfahamu bali humkimbia, kwa sababu hawatambui sauti ya mgeni.” 6 Yesu alitumia mfano huu lakini wao hawakuel ewa maana yake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica