Font Size
Yohana 10:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Kondoo hawam fuati mtu wasiyemfahamu bali humkimbia, kwa sababu hawatambui sauti ya mgeni.” 6 Yesu alitumia mfano huu lakini wao hawakuel ewa maana yake.
7 Kwa hiyo Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni mlango wa kupitia kondoo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica