Add parallel Print Page Options

Lakini kamwe kondoo hawatamfuata wasiyemfahamu. Bali watamkimbia, kwa sababu hawaifahamu sauti yake.”

Yesu aliwaambia watu habari hii, lakini hawakuelewa ilikuwa ina maana gani.

Yesu Mchungaji Mwema

Hivyo Yesu akasema tena, “Hakika ninawaambia, Mimi ni mlango wa kondoo.

Read full chapter