Font Size
Yohana 10:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Yesu alitumia mfano huu lakini wao hawakuel ewa maana yake.
7 Kwa hiyo Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni mlango wa kupitia kondoo. 8 Wote walionitangulia ni wezi na wany ang’anyi. Hata hivyo kondoo hawakuwafuata.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica