Font Size
Yohana 10:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 10:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Yesu aliwaambia watu habari hii, lakini hawakuelewa ilikuwa ina maana gani.
Yesu Mchungaji Mwema
7 Hivyo Yesu akasema tena, “Hakika ninawaambia, Mimi ni mlango wa kondoo. 8 Wote walionitangulia walikuwa wezi na wanyang'anyi. Kondoo hawakuwasikiliza hao.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International