Font Size
Yohana 10:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Kwa hiyo Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni mlango wa kupitia kondoo. 8 Wote walionitangulia ni wezi na wany ang’anyi. Hata hivyo kondoo hawakuwafuata. 9 Mimi ni mlango; mtu ye yote anayeingia zizini kwa kupitia kwangu atakuwa salama, naye ataingia na kutoka na kupata malisho.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica