Font Size
Yohana 10:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 Mimi ni mlango; mtu ye yote anayeingia zizini kwa kupitia kwangu atakuwa salama, naye ataingia na kutoka na kupata malisho. 10 Mwizi huja kwa nia ya kuiba, kuua na kuharibu. Nimekuja ili watu wapate uzima; uzima ulio kamili. 11 Mimi ni Mchungaji Mwema. Mchungaji Mwema hutoa maisha yake kwa ajili ya kondoo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica