Font Size
Yohana 16:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 16:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
Ushindi
25 “Nimewaambia mambo haya kwa mafumbo. Lakini wakati unakuja ambapo sitazungumza nanyi tena kwa mafumbo bali nita waeleza wazi wazi kuhusu Baba yangu. 26 Wakati huo mtaomba kwa jina langu. Wala sisemi kwamba nitamwomba Baba kwa niaba yenu; 27 kwa maana Baba mwenyewe anawapenda kwa sababu mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Baba.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica