Font Size
Yohana 16:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 16:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
29 Wanafunzi wake wakasema, “Sasa unazungumza wazi wazi wala si kwa mafumbo. 30 Sasa tumejua kwamba wewe una jua mambo yote wala hakuna haja ya mtu kukuuliza maswali. Kwa hiyo tunaamini kwamba ulitoka kwa Mungu.” 31 Yesu akawajibu, “Sasa mnaamini?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica