Font Size
Yohana 17:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
13 Nami nakuja kwako sasa. Lakini maneno haya nayasema ningali nimo ulimwenguni ili wafuasi hawa wawe na furaha kamili ndani yao. 14 Nimewapa mafundisho yako. Nao ulimwengu umewachukia, kwa sababu wao sio wa ulimwengu, kama mimi nisivyokuwa wa ulimwengu.
15 Siombi kwamba uwaondoe katika ulimwengu. Bali ninaomba uwalinde salama kutoka kwa Yule Mwovu.[a]
Read full chapterFootnotes
- 17:15 Mwovu Ni Shetani au Ibilisi.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International