Font Size
Yohana 17:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
14 Nimewapa mafundisho yako. Nao ulimwengu umewachukia, kwa sababu wao sio wa ulimwengu, kama mimi nisivyokuwa wa ulimwengu.
15 Siombi kwamba uwaondoe katika ulimwengu. Bali ninaomba uwalinde salama kutoka kwa Yule Mwovu.[a] 16 Wao si wa ulimwengu huu, kama mimi nisivyokuwa wa ulimwengu huu.
Read full chapterFootnotes
- 17:15 Mwovu Ni Shetani au Ibilisi.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International