Font Size
Yohana 17:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Wao si wa ulimwengu huu, kama mimi nisivyokuwa wa ulimwengu huu. 17 Kupitia kweli yako uwatayarishe kwa utumishi wako. Mafundisho yako ndiyo kweli. 18 Mimi nimewatuma ulimwenguni, kama wewe ulivyonituma mimi ulimwenguni.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International