Font Size
Yohana 17:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 17:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Nimewafahamisha jina lako wale ambao umenipa kutoka katika ulimwengu. Wao wametii neno lako. 7 Sasa wamefahamu ya kuwa vyote ulivyonipa vinatoka kwako ; 8 kwa kuwa nimewapa ujumbe ulionipa, nao wameupokea. Wamefahamu hakika ya kuwa nimetoka kwako na wameamini kwamba ulinituma.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica