Font Size
Yohana 17:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Sasa wanajua kuwa kila kitu nilichonacho kimetoka kwako. 8 Mimi niliwaeleza maneno uliyonipa, nao wakayapokea. Walitambua ukweli kuwa mimi nilitoka kwako na wakaamini kuwa wewe ndiye uliyenituma. 9 Mimi ninawaombea hao sasa. Siwaombei watu walioko ulimwenguni. Bali nawaombea wale watu ulionipa, kwa sababu hao ni wako.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International