Font Size
Yohana 18:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 18:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Akamatwa
(Mt 26:47-56; Mk 14:43-50; Lk 22:47-53)
18 Yesu alipomaliza kuomba, akaondoka pamoja na wafuasi wake kwenda ng'ambo kuvuka bonde la Kidroni. Akaenda katika bustani mahali hapo, akiwa bado pamoja na wafuasi wake.
2 Yuda, yule aliyehusika kumsaliti Yesu, alipafahamu mahali pale. Alipajua kwa sababu Yesu mara nyingi alikutana na wafuasi wake pale.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International