Font Size
Yohana 18:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 18:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 Simoni Petro akauchomoa upanga aliokuwa ameufunga kiunoni. Akampiga nao mtumishi wa Kuhani Mkuu, na kulikata sikio lake la kulia. (Jina la mtumishi huyo lilikuwa ni Maliko.) 11 Yesu akamwambia Petro, “Rudisha jambia lako mahali pake! Ninapaswa kunywa toka kikombe[a] ambacho Baba amenipa nikinywee.”
Yesu Aletwa Mbele ya Anasi
(Mt 26:57-58; Mk 14:53-54; Lk 22:54)
12 Kisha askari hao pamoja na mkuu wao na walinzi wa Kiyahudi wakamkamata Yesu. Wakamfunga,
Read full chapterFootnotes
- 18:11 kikombe Kikombe ni ishara ya mateso. Yesu alitumia dhana ya kukinywea kikombe akimaanisha kuyakubali mateso ambayo angeyapata katika matukio ya kutisha ambayo yangetokea muda mfupi ujao.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International