Font Size
Yohana 18:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 18:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Yuda, ambaye alimsaliti Yesu, pia alipafahamu mahali hapo kwani Yesu alikuwa akikutana na wanafunzi wake hapo mara kwa mara. 3 Kwa hiyo Yuda akaja kwenye bustani hiyo akiongoza kikundi cha askari wa Kirumi na walinzi wa Hekalu kutoka kwa makuhani wakuu na Mafarisayo wakiwa na taa na silaha. 4 Yesu alijua yata kayompata, kwa hiyo akawasogelea akawauliza, “Mnamtafuta nani?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica