Font Size
Yohana 18:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 18:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Kwa hiyo Yuda akaja kwenye bustani hiyo akiongoza kikundi cha askari wa Kirumi na walinzi wa Hekalu kutoka kwa makuhani wakuu na Mafarisayo wakiwa na taa na silaha. 4 Yesu alijua yata kayompata, kwa hiyo akawasogelea akawauliza, “Mnamtafuta nani?” 5 Wao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.” Yesu akawaambia, “Ni mimi.” Yuda ambaye alimsaliti alikuwa amesimama na wale askari.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica