Font Size
Yohana 18:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 18:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?” Nao wakajibu, “Yesu wa Nazareti .” 8 Yesu akawaambia, “Nimekwisha waeleza kuwa ni mimi; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi waachilieni hawa wengine waende.” 9 Alisema haya ili lile neno alilosema lipate kutimia, ‘Kati ya wale ulionipa sikupoteza hata mmoja.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica