Font Size
Yohana 20:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 20:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Amtokea Mariamu Magdalena
(Mk 16:9-11)
10 Kisha wafuasi wakarudi nyumbani. 11 Lakini Mariamu akabaki amesimama nje ya kaburi, akilia. Aliinama na kuchungulia ndani ya kaburi alipokuwa akilia. 12 Mle ndani akawaona malaika wawili waliovaa nguo nyeupe na wameketi mahali ulipokuwa mwili wa Yesu. Mmoja amekaa sehemu kilipolazwa kichwa na mwingine aliketi sehemu miguu ilipokuwa imewekwa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International