Font Size
Yohana 20:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 20:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Mle ndani akawaona malaika wawili waliovaa nguo nyeupe na wameketi mahali ulipokuwa mwili wa Yesu. Mmoja amekaa sehemu kilipolazwa kichwa na mwingine aliketi sehemu miguu ilipokuwa imewekwa.
13 Malaika wakamwuliza Mariamu, “Mwanamke, kwa nini unalia?”
Mariamu akajibu, “Wameuondoa mwili wa Bwana wangu, na sijui wameuweka wapi.” 14 Wakati Mariamu aliposema hivi, akageuka nyuma na kumwona Yesu amesimama pale. Lakini hakujua kuwa huyo alikuwa ni Yesu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International