Font Size
Yohana 20:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 20:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Kisha mfuasi mwingine, yule aliyefika kwanza kaburini, akaingia ndani. Yeye aliona yaliyotokea na akaamini. 9 (Wafuasi hawa walikuwa bado hawajayaelewa yale Maandiko kwamba Yesu alipaswa kufufuka kutoka wafu.)
Yesu Amtokea Mariamu Magdalena
(Mk 16:9-11)
10 Kisha wafuasi wakarudi nyumbani.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International